Swali: Je, mtu anapata dhambi akitupa kitu kwenye taka kilicho na utajo wa Allaah pamoja na kuzingatia kwamba hakufanya hivo kwa dharau?
Jibu: Ndio. Ikiwa karatasi hiyo iko na utajo wa Allaah akichome au akizike chini ya udongo au mchanga ulio msafi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 28/12/2018
Swali: Je, mtu anapata dhambi akitupa kitu kwenye taka kilicho na utajo wa Allaah pamoja na kuzingatia kwamba hakufanya hivo kwa dharau?
Jibu: Ndio. Ikiwa karatasi hiyo iko na utajo wa Allaah akichome au akizike chini ya udongo au mchanga ulio msafi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 28/12/2018
https://firqatunnajia.com/anapata-dhambi-mwenye-kutupa-kitu-kilicho-na-utajo-wa-allaah-kwenye-taka/