Swali: Mtu aliingia ndani ya swalah akiwa katika safu ya kwanza, kisha akapatwa na hadathi lakini akaendelea na swalah ili asiikate na kulazimika kupita katika safu za nyuma na kuzivuruga na kupoteza unyenyekevu wa wanaoswali. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Tunatarajia Allaah amsamehe. Lakini lililo wajibu ni kwamba mtu akipata hadathi akiwa katika swalah au akakumbuka kuwa hana twahara, basi aikate swalah yake na aende kutawadha, kisha arudi na kuswali kile atachokiwahi katika swalah ya mkusanyiko.
Ama safu za maamuma, basi Sutrah ya imamu ndio Sutrah yao. Hivyo akipita mbele ya maamuma hapana vibaya. Aidha ni wajibu juu yake wakati wa kutoka katika safu awe na utulivu na utaratibu ili asiwashawishi waswaliji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/159)
- Imechapishwa: 23/02/2026
Swali: Mtu aliingia ndani ya swalah akiwa katika safu ya kwanza, kisha akapatwa na hadathi lakini akaendelea na swalah ili asiikate na kulazimika kupita katika safu za nyuma na kuzivuruga na kupoteza unyenyekevu wa wanaoswali. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Tunatarajia Allaah amsamehe. Lakini lililo wajibu ni kwamba mtu akipata hadathi akiwa katika swalah au akakumbuka kuwa hana twahara, basi aikate swalah yake na aende kutawadha, kisha arudi na kuswali kile atachokiwahi katika swalah ya mkusanyiko.
Ama safu za maamuma, basi Sutrah ya imamu ndio Sutrah yao. Hivyo akipita mbele ya maamuma hapana vibaya. Aidha ni wajibu juu yake wakati wa kutoka katika safu awe na utulivu na utaratibu ili asiwashawishi waswaliji.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/159)
Imechapishwa: 23/02/2026
https://firqatunnajia.com/anaona-haya-kutoka-kwenye-safu-baada-ya-kuchenguka-wudhuu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket