Swali: Kuna mtu alitangaza kwamba kikipatikana kitu chake kilichopotea basi atampa kiwango fulani cha pesa. Wakati mtu fulani alipomrudishia nacho, akamkatalia kumpa kiwango hicho…
Jibu: Analazimika kutoa kiangazamacho. Kwa sababu ameilazimisha nafsi yake kitu na kimepatikana kile alichokuwa anataka. Kwa hiyo analazimika kutoa kiangazamacho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 25/02/2022
Swali: Kuna mtu alitangaza kwamba kikipatikana kitu chake kilichopotea basi atampa kiwango fulani cha pesa. Wakati mtu fulani alipomrudishia nacho, akamkatalia kumpa kiwango hicho…
Jibu: Analazimika kutoa kiangazamacho. Kwa sababu ameilazimisha nafsi yake kitu na kimepatikana kile alichokuwa anataka. Kwa hiyo analazimika kutoa kiangazamacho.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 25/02/2022
https://firqatunnajia.com/anakataa-kutoa-kiangazamacho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket