Swali: Baadhi ya watu wanaponasihiwa wanasema kuwa Allaah hajawaongoza. Ni ipi hukumu ya kusema hivo?
Jibu: Mwambie amuombe Mola Wake amwongoze. Allaah anasema:
ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ
“Niombeni Nitakuitikieni.”[1]
[1] 40:60
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 116
- Imechapishwa: 22/08/2019
Swali: Baadhi ya watu wanaponasihiwa wanasema kuwa Allaah hajawaongoza. Ni ipi hukumu ya kusema hivo?
Jibu: Mwambie amuombe Mola Wake amwongoze. Allaah anasema:
ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ
“Niombeni Nitakuitikieni.”[1]
[1] 40:60
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 116
Imechapishwa: 22/08/2019
https://firqatunnajia.com/anadai-allaah-hajamuongoza-anaponasihiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)