Swali: Nataka kuoa lakini naacha kufanya hivo kwa kuchelea kutowatendea wema wazazi wangu. Nifanye nini?
Jibu: Ni kosa. Nasema hivi oa. Huenda kuoa kwako ikawa ni sababu ya kuwatendea wema wazazi. Kwa sababu ukioa umeoa kwa sababu ya amri ya Allaah. Matendo mema ni mambo yenye kuvutana. Hivyo oa na harakisha kuoa. Pengine kuoa kwako ikawa ni katika kuwatendea wema ili mwanamke huyo akaja kuwahudumia wazazi wako. Hata kama mwanamke kuwahudumia wazazi wa mume sio wajibu, lakini ni jambo linaingia katika tabia njema. Huenda Allaah akamfanyia wepesi kuwahudumia wazazi hawa wawili.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (55) http://binothaimeen.net/content/1253
- Imechapishwa: 26/09/2019
Swali: Nataka kuoa lakini naacha kufanya hivo kwa kuchelea kutowatendea wema wazazi wangu. Nifanye nini?
Jibu: Ni kosa. Nasema hivi oa. Huenda kuoa kwako ikawa ni sababu ya kuwatendea wema wazazi. Kwa sababu ukioa umeoa kwa sababu ya amri ya Allaah. Matendo mema ni mambo yenye kuvutana. Hivyo oa na harakisha kuoa. Pengine kuoa kwako ikawa ni katika kuwatendea wema ili mwanamke huyo akaja kuwahudumia wazazi wako. Hata kama mwanamke kuwahudumia wazazi wa mume sio wajibu, lakini ni jambo linaingia katika tabia njema. Huenda Allaah akamfanyia wepesi kuwahudumia wazazi hawa wawili.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (55) http://binothaimeen.net/content/1253
Imechapishwa: 26/09/2019
https://firqatunnajia.com/anaacha-kuoa-kwa-kuchelea-kutotimiza-haki-za-wazazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)