Swali: Mtu mwenye kujua haki kupitia fatwa za wanachuoni wenye kuzingatiwa kisha akaziacha na kuchukua maneno ya watu waliokurupuka juu ya fatwa. Je, anazingatiwa anawafanya waungu?
Jibu: Hapana shaka. Ikiwa anajua kuwa wako makosani na akayafanyia propaganda maneno yao kwa ajili ya lengo fulani ima kwa ajili ya tamaa ya kidunia, kuificha haki au kuwakhalifu wale wanaofuata haki, hapana shaka kwamba amewafanya ni waungu badala ya Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/2896
- Imechapishwa: 26/04/2019
Swali: Mtu mwenye kujua haki kupitia fatwa za wanachuoni wenye kuzingatiwa kisha akaziacha na kuchukua maneno ya watu waliokurupuka juu ya fatwa. Je, anazingatiwa anawafanya waungu?
Jibu: Hapana shaka. Ikiwa anajua kuwa wako makosani na akayafanyia propaganda maneno yao kwa ajili ya lengo fulani ima kwa ajili ya tamaa ya kidunia, kuificha haki au kuwakhalifu wale wanaofuata haki, hapana shaka kwamba amewafanya ni waungu badala ya Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/2896
Imechapishwa: 26/04/2019
https://firqatunnajia.com/anaacha-fatwa-za-wanachuoni/