Swali: Wakati nilipokuwa natawadha nilisahau kupangusa kichwa na nikaosha miguu yangu. Je, ni lazima kurudi kutawadha kikamilifu au nirudi kufuta kichwa kisha nioshe miguu yangu baad ya hapo?
Jibu: Ni lazima kwako kurudi kupangusa kichwa na masikio yako kisha uoshe miguu yako ukiyakumbuka hayo kabla ya kupita kitambo kirefu. Kukipita kitambo kirefu basi unalazimika kutawadha upya. Kwa sababu Muwaalaah[1] ni faradhi miongoni mwa faradhi za wudhuu´.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/06-faradhi-za-wudhuu/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/103)
- Imechapishwa: 12/08/2021
Swali: Wakati nilipokuwa natawadha nilisahau kupangusa kichwa na nikaosha miguu yangu. Je, ni lazima kurudi kutawadha kikamilifu au nirudi kufuta kichwa kisha nioshe miguu yangu baad ya hapo?
Jibu: Ni lazima kwako kurudi kupangusa kichwa na masikio yako kisha uoshe miguu yako ukiyakumbuka hayo kabla ya kupita kitambo kirefu. Kukipita kitambo kirefu basi unalazimika kutawadha upya. Kwa sababu Muwaalaah[1] ni faradhi miongoni mwa faradhi za wudhuu´.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/06-faradhi-za-wudhuu/
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/103)
Imechapishwa: 12/08/2021
https://firqatunnajia.com/amevuka-kiungo-kimoja-wakati-wa-kutawadha/