Swali: Mtu ambaye ametakharuji katika chuo kikuu cha Kishari´ah anaitwa kuwa ni “mwanachuoni” na ana haki ya kutafiti katika dalili na kufanya Ijtihaad?
Jibu: Kama ana elimu na uwezo, hakuna neno. Ama kusema kwamba ametakharuji peke yake haitoshi. Huenda ametakharuji na hajui chochote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 23/04/2019
Swali: Mtu ambaye ametakharuji katika chuo kikuu cha Kishari´ah anaitwa kuwa ni “mwanachuoni” na ana haki ya kutafiti katika dalili na kufanya Ijtihaad?
Jibu: Kama ana elimu na uwezo, hakuna neno. Ama kusema kwamba ametakharuji peke yake haitoshi. Huenda ametakharuji na hajui chochote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
Imechapishwa: 23/04/2019
https://firqatunnajia.com/ametakharuji-na-kusoma-chuo-kikuu-lakini-bado-mjinga/