Swali: Mtu ambaye ametakharuji katika chuo kikuu cha Kishari´ah anaitwa kuwa ni “mwanachuoni” na ana haki ya kutafiti katika dalili na kufanya Ijtihaad?
Jibu: Kama ana elimu na uwezo, hakuna neno. Ama kusema kwamba ametakharuji peke yake haitoshi. Huenda ametakharuji na hajui chochote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 23/04/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)