Swali: Nilikuwa nikiswali kwenye msikiti ulio na kaburi kwa muda wa miaka kumi. Ni ipi hukumu ya swalah zangu kwa muda huu?
Jibu: Swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Kwa kuwa ulikuwa hujabainikiwa na makatazo juu ya hili. Kwa hiyo swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Lakini usiswali ndani yake baada ya kubainikiwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 03/02/2017
Swali: Nilikuwa nikiswali kwenye msikiti ulio na kaburi kwa muda wa miaka kumi. Ni ipi hukumu ya swalah zangu kwa muda huu?
Jibu: Swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Kwa kuwa ulikuwa hujabainikiwa na makatazo juu ya hili. Kwa hiyo swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Lakini usiswali ndani yake baada ya kubainikiwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 03/02/2017
https://firqatunnajia.com/ameswali-kwenye-msikiti-wa-kaburi-kwa-miaka-kumi/