Swali: Kuna mtu amekula nyama ya ngamia na hakutawadha hali ya kuwa anajua hukumu na maji yapo. Je, swalah yake inabatilika?
Jibu: Ndio, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kutawadha baada ya kula nyama ya ngamia:
”Tawadheni kutokana na nyama ya ngamia na msitawadhe kutokana na nyama ya kondoo.”
Vilevile aliulizwa: ”Ee Mtume wa Allaah. Je, tutawadhe kutokana na nyama ya ngamia?” Akasema: ”Ndio.”
Basi yule anayeswali na hali ya kuwa amekula nyama ya ngamia bila ya kutawadha, atarudia swalah ikiwa hakutawadha. Hivi ndivo ilivyowekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30969/ما-حكم-صلاة-من-لم-يتوضا-من-لحم-البعير
- Imechapishwa: 18/09/2025
Swali: Kuna mtu amekula nyama ya ngamia na hakutawadha hali ya kuwa anajua hukumu na maji yapo. Je, swalah yake inabatilika?
Jibu: Ndio, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kutawadha baada ya kula nyama ya ngamia:
”Tawadheni kutokana na nyama ya ngamia na msitawadhe kutokana na nyama ya kondoo.”
Vilevile aliulizwa: ”Ee Mtume wa Allaah. Je, tutawadhe kutokana na nyama ya ngamia?” Akasema: ”Ndio.”
Basi yule anayeswali na hali ya kuwa amekula nyama ya ngamia bila ya kutawadha, atarudia swalah ikiwa hakutawadha. Hivi ndivo ilivyowekwa katika Shari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30969/ما-حكم-صلاة-من-لم-يتوضا-من-لحم-البعير
Imechapishwa: 18/09/2025
https://firqatunnajia.com/ameswali-bila-ya-kutawadha-baada-kula-nyama-ya-ngamia/