Swali: Kuna mwanamke alikula siku tano za Ramadhaan na hakuwahi kulipa mpaka akashika mimba nyingine. Alipotaka kulipa hakuweza. Amekadiria kuwa atazaa wakati wa Ramadhaan na kwamba hawezi kufunga pia. Afanye nini? Je, alipe mwezi wa Ramadhaan hii na zile siku tano za mwaka ule au alishe juu ya zile siku tano na alipe Ramadhaan ya mwaka huu?
Jibu: Mambo yakiwa kama alivyosema alipe zile siku tano na alipe Ramadhaan ya mwaka huu na wala halazimiki kutoa kafara.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/343)
- Imechapishwa: 18/06/2017
Swali: Kuna mwanamke alikula siku tano za Ramadhaan na hakuwahi kulipa mpaka akashika mimba nyingine. Alipotaka kulipa hakuweza. Amekadiria kuwa atazaa wakati wa Ramadhaan na kwamba hawezi kufunga pia. Afanye nini? Je, alipe mwezi wa Ramadhaan hii na zile siku tano za mwaka ule au alishe juu ya zile siku tano na alipe Ramadhaan ya mwaka huu?
Jibu: Mambo yakiwa kama alivyosema alipe zile siku tano na alipe Ramadhaan ya mwaka huu na wala halazimiki kutoa kafara.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/343)
Imechapishwa: 18/06/2017
https://firqatunnajia.com/ameshindwa-kulipa-kwa-sababu-ramadhaan-ya-kwanza-mimba-na-ya-pili-amezaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)