Swali: Kuna mtu alifunga katika Ramadhaan akashikwa na kiu kwelikweli ambapo akanywa maji. Ni ipi hukumu?
Jibu: Ni wajibu kwake kulipa na wala hatotoa kafara kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Ikiwa alichukulia hilo wepesi basi ni wajibu kwake kutubu kwa Allaah pamoja vilevile na kulipa [siku hiyo]. Kuhusu kutoa kafara si wajibu isipokuwa tu kwa yule ambaye amefanya jimaa mchana wa Ramadhaan miongoni mwa wale ambao wanawajibika kufunga. Hadiyth zimepokelewa juu ya hilo tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=2436
- Imechapishwa: 23/05/2018
Swali: Kuna mtu alifunga katika Ramadhaan akashikwa na kiu kwelikweli ambapo akanywa maji. Ni ipi hukumu?
Jibu: Ni wajibu kwake kulipa na wala hatotoa kafara kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Ikiwa alichukulia hilo wepesi basi ni wajibu kwake kutubu kwa Allaah pamoja vilevile na kulipa [siku hiyo]. Kuhusu kutoa kafara si wajibu isipokuwa tu kwa yule ambaye amefanya jimaa mchana wa Ramadhaan miongoni mwa wale ambao wanawajibika kufunga. Hadiyth zimepokelewa juu ya hilo tu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=2436
Imechapishwa: 23/05/2018
https://firqatunnajia.com/ameshikwa-na-kitu-mchana-wa-ramadhaan-ikabidi-afungue/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
