Swali: Kuna mtu mmoja aliacha kwenye gari yangu baadhi ya vitu visivyokuwa na thamani na akaenda zake na sijui anwani yake.
Jibu: Ikiwa aliviacha Makkah basi vipeleke katika ofisi vya wenye kupoteza vitu ilioko Haram. Kama ni nje ya Makkah, fuatilia thamani yake na utoe swadaqah ya ile thamani kwa nia thawabu zimwendee yule mpotezaji.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2022
Swali: Kuna mtu mmoja aliacha kwenye gari yangu baadhi ya vitu visivyokuwa na thamani na akaenda zake na sijui anwani yake.
Jibu: Ikiwa aliviacha Makkah basi vipeleke katika ofisi vya wenye kupoteza vitu ilioko Haram. Kama ni nje ya Makkah, fuatilia thamani yake na utoe swadaqah ya ile thamani kwa nia thawabu zimwendee yule mpotezaji.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
Imechapishwa: 24/09/2022
https://firqatunnajia.com/amesahau-vitu-vyake-kwenye-gari-yangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)