Swali: Kipi kinachomlazimu mswaliji ambaye ameacha Tashahhud ya kwanza kwa kusahau kisha pia akaacha sijda ya kusahau kwa kusahau?
Jibu: Akikumbuka baada ya salamu atasujudu sijda ya kusahau. Muda ukirefuka basi hilo litadondoka kutoka kwake kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanazuoni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/281)
- Imechapishwa: 05/11/2021
Swali: Kipi kinachomlazimu mswaliji ambaye ameacha Tashahhud ya kwanza kwa kusahau kisha pia akaacha sijda ya kusahau kwa kusahau?
Jibu: Akikumbuka baada ya salamu atasujudu sijda ya kusahau. Muda ukirefuka basi hilo litadondoka kutoka kwake kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanazuoni.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/281)
Imechapishwa: 05/11/2021
https://firqatunnajia.com/amesahau-sijda-ya-kusahau-na-tashahhud-ya-kwanza-kwa-kusahau/