Swali: Maamuma amechelewa kusoma al-Faatihah kwa sababu ya kusahau kisha imamu akarukuu.
Jibu: Arukuu na hakuna kitu kinachomlazimu. al-Faatihah inamdondokea kwa kusahau na inamdondokea kwa kutokujua.
Swali: Nakusudia kuwa imamu amerukuu kabla ya kuimaliza?
Jibu: Arukuu na wala asisubiri. Arukuu na aikate.
Swali: Mtu anaweza kusema alete Rak´ah nyingine.
Jibu: Hapana, aikate na arukuu pamoja na imamu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21647/حكم-من-سها-عن-الفاتحة-حتى-ركع-الامام
- Imechapishwa: 08/09/2022
Swali: Maamuma amechelewa kusoma al-Faatihah kwa sababu ya kusahau kisha imamu akarukuu.
Jibu: Arukuu na hakuna kitu kinachomlazimu. al-Faatihah inamdondokea kwa kusahau na inamdondokea kwa kutokujua.
Swali: Nakusudia kuwa imamu amerukuu kabla ya kuimaliza?
Jibu: Arukuu na wala asisubiri. Arukuu na aikate.
Swali: Mtu anaweza kusema alete Rak´ah nyingine.
Jibu: Hapana, aikate na arukuu pamoja na imamu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21647/حكم-من-سها-عن-الفاتحة-حتى-ركع-الامام
Imechapishwa: 08/09/2022
https://firqatunnajia.com/amesahau-al-faatihah-mpaka-imamu-akarukuu/