Swali: Ambaye amemuibia ndugu yake baadhi ya mali na baadaye Allaah akamtunuku kutubia. Lakini hata anaogopa kurudisha pesa hizi kwa kuchelea kusitokee matatizo. Afanye nini?
Jibu: Hakuna matatizo yatayotokea Allaah akitaka. Amtafute mtu mwaminifu na amweleze ukweli wa mambo na amwambie awape familia yake. Kwa sharti mtu huyu awe ni mwaminifu wa pesa. Ikiwa jambo hili haliwezekani kuna njia nyingine: azitume kwa posta iliyodhibitiwa na aandike kwenye karatasi kwa hati isiyokuwa yake yafuatayo:
“Hizi ni pesa ambazo uliibiwa na mwizi.”
Zitakuwa zimerudi kwake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1772
- Imechapishwa: 17/09/2020
Swali: Ambaye amemuibia ndugu yake baadhi ya mali na baadaye Allaah akamtunuku kutubia. Lakini hata anaogopa kurudisha pesa hizi kwa kuchelea kusitokee matatizo. Afanye nini?
Jibu: Hakuna matatizo yatayotokea Allaah akitaka. Amtafute mtu mwaminifu na amweleze ukweli wa mambo na amwambie awape familia yake. Kwa sharti mtu huyu awe ni mwaminifu wa pesa. Ikiwa jambo hili haliwezekani kuna njia nyingine: azitume kwa posta iliyodhibitiwa na aandike kwenye karatasi kwa hati isiyokuwa yake yafuatayo:
“Hizi ni pesa ambazo uliibiwa na mwizi.”
Zitakuwa zimerudi kwake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1772
Imechapishwa: 17/09/2020
https://firqatunnajia.com/amemuibia-nduguye-pesa-na-hivi-sasa-anataka-kumrudishia-nazo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)