Swali: Kuna mtu aliyekuwa katika Hajj amemjamii mke wake baada ya kutoka Ihraam ya kwanza hali ya kusahau. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ikiwa alikuwa amesahau, sahihi ni kwamba hakuna kitu kinachomlazimu:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Allaah akasema:
”Nimefanya hivo.”
Hivyo ikiwa kweli alikuwa amesahau na ni mkweli, basi hakuna chochote kinachomlazimu. Namna hii ndio sahihi.
[1] 14-15
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30956/حكم-من-جامع-زوجته-بعد-التحلل-الاول-ناسيا
- Imechapishwa: 18/09/2025
Swali: Kuna mtu aliyekuwa katika Hajj amemjamii mke wake baada ya kutoka Ihraam ya kwanza hali ya kusahau. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ikiwa alikuwa amesahau, sahihi ni kwamba hakuna kitu kinachomlazimu:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Allaah akasema:
”Nimefanya hivo.”
Hivyo ikiwa kweli alikuwa amesahau na ni mkweli, basi hakuna chochote kinachomlazimu. Namna hii ndio sahihi.
[1] 14-15
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30956/حكم-من-جامع-زوجته-بعد-التحلل-الاول-ناسيا
Imechapishwa: 18/09/2025
https://firqatunnajia.com/amemjamii-mkewe-baada-ya-kutoka-ihraam-ya-kwanza-kwa-kusahau/