Amekumbuka Sunnah ya Fajr wakati wa adhuhuri

Swali 234: Vipi kuhusu mtu aliyekosa Rak´ah mbili za Fajr na hakuzikumbuka isipokuwa baada ya jua kupinduka?

Jibu: Ni Sunnah ambayo muda wake umeshapita.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 93
  • Imechapishwa: 03/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´

Turn on/off menu