Amekumbuka ´Ishaa wakati yuko anaswali Fajr

Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye amepitikiwa na usingizi kutokana na ´Ishaa kisha akaamka kuswali Fajr na akaiswali, hata hivyo akakumbuka ´Ishaa wakati yuko anaswali Fajr? Je, akamilishe Fajr au afanye nini?

Jibu: Ndio, akamilishe Fajr kisha aswali ´Ishaa.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (2/221)
  • Imechapishwa: 22/05/2026