Swali: Mtu alinuia kufanya ´Umrah kisha akahirimia kutoka kwenye kituo. Baada ya kuingia Haram akakuta msongamano akarudi nyumbani kwake akavaa nguo zake na hakufanya ´Umrah katika Ramadhaan iliopita. Nini kinachomlazimu pamoja na kuzingatia kwamba bado hajaoa?
Jibu: Anapaswa kukamilisha ´Umrah. Bado yuko katika Ihraam. Kwa hiyo inampasa aende atufu, aafanye Sa´y, apunguzwe nywele na kutoka kwenye Ihraam. Ikiwa alikuwa mjinga, basi hakuna juu yake kitu kwa upande wa kuvaa nguo kwa sababu ya ujinga wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31065/ما-حكم-من-احرم-ولم-يعتمر-بسبب-الزحام
- Imechapishwa: 27/09/2025
Swali: Mtu alinuia kufanya ´Umrah kisha akahirimia kutoka kwenye kituo. Baada ya kuingia Haram akakuta msongamano akarudi nyumbani kwake akavaa nguo zake na hakufanya ´Umrah katika Ramadhaan iliopita. Nini kinachomlazimu pamoja na kuzingatia kwamba bado hajaoa?
Jibu: Anapaswa kukamilisha ´Umrah. Bado yuko katika Ihraam. Kwa hiyo inampasa aende atufu, aafanye Sa´y, apunguzwe nywele na kutoka kwenye Ihraam. Ikiwa alikuwa mjinga, basi hakuna juu yake kitu kwa upande wa kuvaa nguo kwa sababu ya ujinga wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31065/ما-حكم-من-احرم-ولم-يعتمر-بسبب-الزحام
Imechapishwa: 27/09/2025
https://firqatunnajia.com/amekatisha-umrah-yake-kwa-sababu-ya-msongamano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
