Amekata kichwa cha kuku kwa mikono yake

Swali: Kuna mtu alichukua kuku, au ndege aina mwingine, akataja jina la Allaah kisha akavunja shingo yake kwa mikono yake, bila ya kisu wala nyenzo nyingine. Je, nyama hii ni halali au haramu?

Jibu: Kinachodhihiri ni kwamba kumchinja mnyama kunadkuwa kwa kifaa kilichonolewa na kwa ajili hiyo nyama hiyo sio halali.

  • Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 430
  • Imechapishwa: 31/07/2025