Swali: Alijua najisi kwenye nguo yake mwanzoni, lakini akaswali akiwa amesahau?
Jibu: Hakuna tatizo:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Swali: Vipi kama alijua kuhusu najisi mwanzoni lakini akaichelewesha kwa sababu fulani, kisha akasahau na kuswali?
Jibu: Ndio, swalah yake ni sahihi.
Swali: Ikiwa atajua kuhusu najisi wakati wa swalah, nayo ipo kwenye nguo zake za ndani?
Jibu: Swalah yake inabatilika; anatakiwa kuivua, kuibadilisha au kuisafisha. Swalah yake inabatilika. Lakini kama hakujua mpaka baada ya kumaliza swalah, basi swalah yake ni sahihi.
[1] 02:286
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31570/ما-حكم-من-صلى-ناسيا-نجاسة-في-ثوبه
- Imechapishwa: 06/11/2025
Swali: Alijua najisi kwenye nguo yake mwanzoni, lakini akaswali akiwa amesahau?
Jibu: Hakuna tatizo:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Swali: Vipi kama alijua kuhusu najisi mwanzoni lakini akaichelewesha kwa sababu fulani, kisha akasahau na kuswali?
Jibu: Ndio, swalah yake ni sahihi.
Swali: Ikiwa atajua kuhusu najisi wakati wa swalah, nayo ipo kwenye nguo zake za ndani?
Jibu: Swalah yake inabatilika; anatakiwa kuivua, kuibadilisha au kuisafisha. Swalah yake inabatilika. Lakini kama hakujua mpaka baada ya kumaliza swalah, basi swalah yake ni sahihi.
[1] 02:286
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31570/ما-حكم-من-صلى-ناسيا-نجاسة-في-ثوبه
Imechapishwa: 06/11/2025
https://firqatunnajia.com/amejua-kuwa-ameswali-na-najisi-baada-ya-kumaliza-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
