Swali: Mtu ameswali na kwenye nguo zake kulikuwa najisi, jambo ambalo alilijua baada ya kumaliza kuswali. Je, ni lazima kuirudi swalah yake?
Jibu: Hapana. Swalah yake ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 30/10/2020
Swali: Mtu ameswali na kwenye nguo zake kulikuwa najisi, jambo ambalo alilijua baada ya kumaliza kuswali. Je, ni lazima kuirudi swalah yake?
Jibu: Hapana. Swalah yake ni sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 30/10/2020
https://firqatunnajia.com/amegundua-kuwa-ameswali-na-nguo-zenye-najisi/