Swali: Leo nimeswali Dhuhr katika mkeka. Baada ya swalah nikabaini kuwa mkeka ulikuwa na msalaba. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Swalah ni sahihi na himdi zote ni Zake Allaah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 03/01/2018
Swali: Leo nimeswali Dhuhr katika mkeka. Baada ya swalah nikabaini kuwa mkeka ulikuwa na msalaba. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Swalah ni sahihi na himdi zote ni Zake Allaah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 03/01/2018
https://firqatunnajia.com/amegundua-baada-ya-swalah-kuwa-mkeka-una-msalaba/