Swali: Nilivaa soksi kabla ya kutawadha. Kisha ulipofika wakati wa swalah nikatawadha na kufuta juu ya soksi kwa kusahau ambapo nikaswali Dhuhr, ´Aswr na Maghrib. Ni ipi hukumu ya swalah zangu?
Jibu: Unatakiwa kuzirudi swalah zako. Kwa sababu hukuvaa soksi ukiwa na twahara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 07/09/2020
Swali: Nilivaa soksi kabla ya kutawadha. Kisha ulipofika wakati wa swalah nikatawadha na kufuta juu ya soksi kwa kusahau ambapo nikaswali Dhuhr, ´Aswr na Maghrib. Ni ipi hukumu ya swalah zangu?
Jibu: Unatakiwa kuzirudi swalah zako. Kwa sababu hukuvaa soksi ukiwa na twahara.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 07/09/2020
https://firqatunnajia.com/amefuta-juu-ya-soksi-bila-ya-wudhuu-2/