Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyeswali Maghrib huko Muzdalifah Rak´ah mbili?
Jibu: Anatakiwa kuirudia. Ikiwa ameswali Maghrib Rak´ah mbili, hilo halijuzu. Kwa sababu Maghrib haifupishwi kwa maafikiano ya waislamu. Kwa hiyo ni wajibu kwake kuiswali tena Rak´ah tatu kisha aiswali tena ´Ishaa pamoja nayo, kwa sababu swalah ya ´Ishaa haisihi isipokuwa baada ya Maghrib. Kwa hiyo ataswali tena Maghrib Rak´ah tatu, kisha ataswali tena ´Ishaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/198)
- Imechapishwa: 12/03/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyeswali Maghrib huko Muzdalifah Rak´ah mbili?
Jibu: Anatakiwa kuirudia. Ikiwa ameswali Maghrib Rak´ah mbili, hilo halijuzu. Kwa sababu Maghrib haifupishwi kwa maafikiano ya waislamu. Kwa hiyo ni wajibu kwake kuiswali tena Rak´ah tatu kisha aiswali tena ´Ishaa pamoja nayo, kwa sababu swalah ya ´Ishaa haisihi isipokuwa baada ya Maghrib. Kwa hiyo ataswali tena Maghrib Rak´ah tatu, kisha ataswali tena ´Ishaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/198)
Imechapishwa: 12/03/2026
https://firqatunnajia.com/amefupisha-maghrib-rakah-mbili/