Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye amefunga na Saudi Arabia kisha akasafiri kwenda katika mji/nchi nyingine ambayo kulichelewa kwao kuingia kwa Ramadhaan. Je, mtu huyo afunge siku thelathini na moja?
Jibu: Afunge pamoja nao na afungue pamoja nao hata kama masiku yake yatazidi kutokana na Hadiyth iliyotangulia:
“Fungeni siku mnafunga, fungueni siku mnafungua.”[1]
[1] at-Tirmidhiy (697).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/155)
- Imechapishwa: 16/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye amefunga na Saudi Arabia kisha akasafiri kwenda katika mji/nchi nyingine ambayo kulichelewa kwao kuingia kwa Ramadhaan. Je, mtu huyo afunge siku thelathini na moja?
Jibu: Afunge pamoja nao na afungue pamoja nao hata kama masiku yake yatazidi kutokana na Hadiyth iliyotangulia:
“Fungeni siku mnafunga, fungueni siku mnafungua.”[1]
[1] at-Tirmidhiy (697).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/155)
Imechapishwa: 16/05/2018
https://firqatunnajia.com/ameenda-katika-nchi-ambayo-walichelewa-kuanza-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
