259 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyenyanyua kichwa kutoka Rukuu´, kisha akapiga chafya – je, inatosha kusema “Alhamdulillaah” mara moja?
Jibu: Huenda ni Sunnah mbili zilizokutana, zikaungana pamoja.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 98
- Imechapishwa: 10/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
259 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyenyanyua kichwa kutoka Rukuu´, kisha akapiga chafya – je, inatosha kusema “Alhamdulillaah” mara moja?
Jibu: Huenda ni Sunnah mbili zilizokutana, zikaungana pamoja.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 98
Imechapishwa: 10/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/amechemua-wakati-alipoinuka-kutoka-kwenye-rukuu/