169- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye ameamka kutoka usingizini mwake na maji yako mbali na yeye. Ikiwa atayaendea maji hayo basi jua litachomoza. Afanye Tayammum au ayaendee maji hayo? Akajibu:
“Anatakiwa kuyafuta maji mpaka ule wakati ambao anachelea muda wa swalah kutoka nje. Akichelea kuwa jua litachomoza basi atafanya Tayammum kisha aswali.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/130-131)
- Imechapishwa: 07/02/2020
169- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye ameamka kutoka usingizini mwake na maji yako mbali na yeye. Ikiwa atayaendea maji hayo basi jua litachomoza. Afanye Tayammum au ayaendee maji hayo? Akajibu:
“Anatakiwa kuyafuta maji mpaka ule wakati ambao anachelea muda wa swalah kutoka nje. Akichelea kuwa jua litachomoza basi atafanya Tayammum kisha aswali.”
Mhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/130-131)
Imechapishwa: 07/02/2020
https://firqatunnajia.com/ameamka-na-maji-yako-mbali-na-yeye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)