Ameamka na maji yako mbali na yeye

169- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye ameamka kutoka usingizini mwake na maji yako mbali na yeye. Ikiwa atayaendea maji hayo basi jua litachomoza. Afanye Tayammum au ayaendee maji hayo? Akajibu:

“Anatakiwa kuyafuta maji mpaka ule wakati ambao anachelea muda wa swalah kutoka nje. Akichelea kuwa jua litachomoza basi atafanya Tayammum kisha aswali.”

  • Mhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/130-131)
  • Imechapishwa: 07/02/2020