Swali 443: Ni ipi hukumu ya kugusa jiwe jeusi au kiguzo cha yemeni ikiwa mtu amejitia manukato?
Jibu: Mwenye Ihraam haigusi ikiwa manukato bado ni yenye unyevunyevu, na ikiwa yamekauka anaweza kulibusu au kuligusa ingawa bado yuko na harufu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 142
- Imechapishwa: 30/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 443: Ni ipi hukumu ya kugusa jiwe jeusi au kiguzo cha yemeni ikiwa mtu amejitia manukato?
Jibu: Mwenye Ihraam haigusi ikiwa manukato bado ni yenye unyevunyevu, na ikiwa yamekauka anaweza kulibusu au kuligusa ingawa bado yuko na harufu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 142
Imechapishwa: 30/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ambaye-kajitia-manukato-kugusa-jiwe-jeusi-au-kiguzo-cha-yemeni/