Swali: Je, mtu aseme kuwa Allaah ana sehemu?
Jibu: Mtu aseme kuwa Allaah Yuko juu (Jalla wa ´Alaa). Hayuko kwenye sehemu Aliyoumba katika viumbe Wake. Kusema ya kwamba Yuko juu [ya mbingu saba], hii ndio haki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Swali: Je, mtu aseme kuwa Allaah ana sehemu?
Jibu: Mtu aseme kuwa Allaah Yuko juu (Jalla wa ´Alaa). Hayuko kwenye sehemu Aliyoumba katika viumbe Wake. Kusema ya kwamba Yuko juu [ya mbingu saba], hii ndio haki.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
Imechapishwa: 30/06/2018
https://firqatunnajia.com/allaah-yuko-mahali/