Swali: Makusudio yake ni kwamba anayekufa katika shirki ndogo anaingia chini ya utashi wa Allaah?
Jibu: Shirki ndogo inaingia chini ya shirki kubwa. Udhahiri wa dalili ni kwamba hasamehewi isipokuwa kwa kutubia au kwa mema yake kubwa na uzito zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24651/ما-حكم-من-مات-على-الشرك-الاصغر
- Imechapishwa: 21/11/2024
Swali: Makusudio yake ni kwamba anayekufa katika shirki ndogo anaingia chini ya utashi wa Allaah?
Jibu: Shirki ndogo inaingia chini ya shirki kubwa. Udhahiri wa dalili ni kwamba hasamehewi isipokuwa kwa kutubia au kwa mema yake kubwa na uzito zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24651/ما-حكم-من-مات-على-الشرك-الاصغر
Imechapishwa: 21/11/2024
https://firqatunnajia.com/allaah-hasamehi-shirki-ndogo/