Swali: Je, nafsi ni sifa ya Allaah kama sifa Zake zingine?
Jibu: Ndio, kwa namna inavyomstahikia Yeye. Hakuna anayejua namna yake isipokuwa Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mwanafunzi: Kwa maana ya kwamba sifa ya nafsi sio dhati?
Ibn Baaz: Ndio, sio dhati:
تَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِي وَلَا أَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِكَ
”Unayajua yale yote yaliyomo katika nafsi yangu na wala mimi sijui yale yaliyomo katika nafsi Yako.”[1]
Mwanafunzi: Baadhi ya ndugu waliopo wameandika swali kuhusu hili?
Ibn Baaz: Nafsi ni tofauti na dhati. Dhati ni kitu na nafsi ni kitu kingine. Hakuna yeyote mwenye ghera zaidi kuliko Allaah. Hakuna yeyote (شخصَ) mwenye ghera zaidi kuliko Allaah.
Mwanafunzi: Lakini kumepokelewa andiko kuhusu dhati?
Ibn Baaz: Ndio, maandiko yote ni kuhusu dhati:
اللَّـهُ خَالِقُ كُلِّ شَيْءٍ
”Allaah ni Muumbaji wa kila jambo.”[2]
إِنَّ رَبَّكُمُ اللَّـهُ
“Hakika Mola wenu ni Allaah… ”[3]
Yote haya yanarudi katika dhati. Hata hivyo ni Mwenye kusifiwa kwa dhati pia.
Mwanafunzi: Nini maana ya dhati katika lugha?
Ibn Baaz: Ni hakika ya kitu. Dhati ya kitu ni hakika yake.
[1] 05:116
[2]39:62
[3] 7:54
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31063/هل-النفس-صفة-لله-عز-وجل-كساىر-الصفات
- Imechapishwa: 27/09/2025
Swali: Je, nafsi ni sifa ya Allaah kama sifa Zake zingine?
Jibu: Ndio, kwa namna inavyomstahikia Yeye. Hakuna anayejua namna yake isipokuwa Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mwanafunzi: Kwa maana ya kwamba sifa ya nafsi sio dhati?
Ibn Baaz: Ndio, sio dhati:
تَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِي وَلَا أَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِكَ
”Unayajua yale yote yaliyomo katika nafsi yangu na wala mimi sijui yale yaliyomo katika nafsi Yako.”[1]
Mwanafunzi: Baadhi ya ndugu waliopo wameandika swali kuhusu hili?
Ibn Baaz: Nafsi ni tofauti na dhati. Dhati ni kitu na nafsi ni kitu kingine. Hakuna yeyote mwenye ghera zaidi kuliko Allaah. Hakuna yeyote (شخصَ) mwenye ghera zaidi kuliko Allaah.
Mwanafunzi: Lakini kumepokelewa andiko kuhusu dhati?
Ibn Baaz: Ndio, maandiko yote ni kuhusu dhati:
اللَّـهُ خَالِقُ كُلِّ شَيْءٍ
”Allaah ni Muumbaji wa kila jambo.”[2]
إِنَّ رَبَّكُمُ اللَّـهُ
“Hakika Mola wenu ni Allaah… ”[3]
Yote haya yanarudi katika dhati. Hata hivyo ni Mwenye kusifiwa kwa dhati pia.
Mwanafunzi: Nini maana ya dhati katika lugha?
Ibn Baaz: Ni hakika ya kitu. Dhati ya kitu ni hakika yake.
[1] 05:116
[2]39:62
[3] 7:54
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31063/هل-النفس-صفة-لله-عز-وجل-كساىر-الصفات
Imechapishwa: 27/09/2025
https://firqatunnajia.com/allaah-anasifika-kwa-nafsi-na-dhati/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
