Swali: Kipi kinachomlazimu mwenye kusema uwongo kwamba Allaah anajua kuwa nilikuwa sehemu fulani?
Jibu: Hakuna kinachomlazimu. Lakini Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) anajua. Lakini yeye ni mwongo. Anasema kuwa Allaah anajua kuwa alikuwa mahali fulani ilihali hakuwa mahali hapo. Ni mwongo. Lakini Allaah anajua kuwa ni mwongo. Hakuna chochote kinachomlazimu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 14/06/2024
Swali: Kipi kinachomlazimu mwenye kusema uwongo kwamba Allaah anajua kuwa nilikuwa sehemu fulani?
Jibu: Hakuna kinachomlazimu. Lakini Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) anajua. Lakini yeye ni mwongo. Anasema kuwa Allaah anajua kuwa alikuwa mahali fulani ilihali hakuwa mahali hapo. Ni mwongo. Lakini Allaah anajua kuwa ni mwongo. Hakuna chochote kinachomlazimu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 14/06/2024
https://firqatunnajia.com/allaah-anajua-kuwa-nilikuwa-mahali-fulani/