Swali: Kipi kinachomlazimu mwenye kusema uwongo kwamba Allaah anajua kuwa nilikuwa sehemu fulani?

Jibu: Hakuna kinachomlazimu. Lakini Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) anajua. Lakini yeye ni mwongo. Anasema kuwa Allaah anajua kuwa alikuwa mahali fulani ilihali hakuwa mahali hapo. Ni mwongo. Lakini Allaah anajua kuwa ni mwongo. Hakuna chochote kinachomlazimu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 14/06/2024