Swali: Je, inajuzu kumkanushia kiwiliwili Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Kiwiliwili hakitakiwi kuthibitishwa wala kukanushwa. Kwa kuwa ni sifa ambayo haikuthibiti katika Qur-aan wala Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17444
- Imechapishwa: 29/11/2017
Swali: Je, inajuzu kumkanushia kiwiliwili Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Kiwiliwili hakitakiwi kuthibitishwa wala kukanushwa. Kwa kuwa ni sifa ambayo haikuthibiti katika Qur-aan wala Sunnah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17444
Imechapishwa: 29/11/2017
https://firqatunnajia.com/allaah-ana-kiwiliwili/