Swali: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) alimtaka Abu Lahab kuamini kilimwengu au kishari´ah?
Jibu: Kishari´ah. Lau angekuwa ametaka aamini kimaumbile, basi angeliamini. lakini Allaah hakumtaka kimaumbile. Allaah ametaka watu wote waamini kishari´ah. Lakini yule anayemtaka kimaumbile ni lazima itokee. Kwa hivyo Abu Taalib na Abu Lahab walitakiwa kuwa waislamu kishari´ah, lakini hawakukubali. Ama matakwa ya kimaumbile, tayari lilikuwa limepita katika ujuzi wa Allaah kwamba hawatasilimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25047/هل-اراد-الله-الايمان-من-ابي-لهب-كونا-او-شرعا
- Imechapishwa: 27/01/2025
Swali: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) alimtaka Abu Lahab kuamini kilimwengu au kishari´ah?
Jibu: Kishari´ah. Lau angekuwa ametaka aamini kimaumbile, basi angeliamini. lakini Allaah hakumtaka kimaumbile. Allaah ametaka watu wote waamini kishari´ah. Lakini yule anayemtaka kimaumbile ni lazima itokee. Kwa hivyo Abu Taalib na Abu Lahab walitakiwa kuwa waislamu kishari´ah, lakini hawakukubali. Ama matakwa ya kimaumbile, tayari lilikuwa limepita katika ujuzi wa Allaah kwamba hawatasilimu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25047/هل-اراد-الله-الايمان-من-ابي-لهب-كونا-او-شرعا
Imechapishwa: 27/01/2025
https://firqatunnajia.com/allaah-alimtaka-abu-lahab-aamini-kilimwengu-au-kishariah/