Swali: Watu wengi wanapoambiwa kuwa kuswali ndani ya msikiti wenye kaburi haisihi na inapaswa irudiwe wanatumia hoja ya msikiti wa Mtume?
Jibu: Msikiti wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kaburi lake si ndani ya msikiti. Kaburi lake lipo ndani ya nyumba ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), siyo ndani ya msikiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alizikwa katika nyumba ya ´Aaishah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31117/حكم-الاحتجاج-لمساجد-القبور-بالمسجد-النبوي
- Imechapishwa: 03/10/2025
Swali: Watu wengi wanapoambiwa kuwa kuswali ndani ya msikiti wenye kaburi haisihi na inapaswa irudiwe wanatumia hoja ya msikiti wa Mtume?
Jibu: Msikiti wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kaburi lake si ndani ya msikiti. Kaburi lake lipo ndani ya nyumba ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa), siyo ndani ya msikiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alizikwa katika nyumba ya ´Aaishah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31117/حكم-الاحتجاج-لمساجد-القبور-بالمسجد-النبوي
Imechapishwa: 03/10/2025
https://firqatunnajia.com/alizikwa-nyumbani-kwa-aaishah-na-si-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
