Swali: Vipi kuhusu ambaye anachinja Udhhiyah kabla ya swalah ya ´iyd?
Jibu: Hasihi isipokuwa baada ya swalah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anayechinja kabla ya swalah basi huyo ni kondoo wa nyama hasihi.”
Hasihi. Kwa hiyo ni lazima iwe baada ya swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18936/حكم-ذبح-الاضحية-قبل-صلاة-العيد
- Imechapishwa: 08/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket