Swali: Vipi kuhusu ambaye anachinja Udhhiyah kabla ya swalah ya ´iyd?
Jibu: Hasihi isipokuwa baada ya swalah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anayechinja kabla ya swalah basi huyo ni kondoo wa nyama hasihi.”
Hasihi. Kwa hiyo ni lazima iwe baada ya swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18936/حكم-ذبح-الاضحية-قبل-صلاة-العيد
- Imechapishwa: 08/06/2024
Swali: Vipi kuhusu ambaye anachinja Udhhiyah kabla ya swalah ya ´iyd?
Jibu: Hasihi isipokuwa baada ya swalah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anayechinja kabla ya swalah basi huyo ni kondoo wa nyama hasihi.”
Hasihi. Kwa hiyo ni lazima iwe baada ya swalah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18936/حكم-ذبح-الاضحية-قبل-صلاة-العيد
Imechapishwa: 08/06/2024
https://firqatunnajia.com/aliyechinja-udhhiyah-kabla-ya-swalah/