Atatoka Motoni yule mwenye kutamka shahaadah na asiwe na kichenguzi miongoni mwa vichenguzi vya Uislamu. Kuhusu ambaye yuko na kichenguzi ni mwenye kuritadi. Mwenye kuritadi ni muovu zaidi kuliko kafiri wa kawaida. Mtu huyo atadumishwa Motoni milele.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24093/هل-يخرج-الموحد-تارك-الصلاة-من-النار
- Imechapishwa: 29/08/2024
Atatoka Motoni yule mwenye kutamka shahaadah na asiwe na kichenguzi miongoni mwa vichenguzi vya Uislamu. Kuhusu ambaye yuko na kichenguzi ni mwenye kuritadi. Mwenye kuritadi ni muovu zaidi kuliko kafiri wa kawaida. Mtu huyo atadumishwa Motoni milele.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24093/هل-يخرج-الموحد-تارك-الصلاة-من-النار
Imechapishwa: 29/08/2024
https://firqatunnajia.com/aliye-na-kichenguzi-ambaye-ameingia-motoni/