Swali: Je, ni sahihi kwamba imaam ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) aliwapiga vita majini? Hayo yametajwa katika kitabu “Ghazawaat-ul-Imaam ´Aliy” na kwamba aliwapiga vita mpaka akawafikisha katika ardhi ya saba. Unasemaje juu ya kitabu hicho?
Jibu: Yote haya hayana msingi. Hakuwapiga vita majini na wala hakukutokea kitu katika mambo hayo. Haya ni batili, uongo na mambo yaliyozuliwa na watu. Abul-´Abbaas Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) ametaja jambo hilo na akasema kwamba ni uongo usiokuwa na msingi wowote na kwamba ni katika uongo uliozuliwa na waongo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/277)
- Imechapishwa: 16/07/2021
Swali: Je, ni sahihi kwamba imaam ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) aliwapiga vita majini? Hayo yametajwa katika kitabu “Ghazawaat-ul-Imaam ´Aliy” na kwamba aliwapiga vita mpaka akawafikisha katika ardhi ya saba. Unasemaje juu ya kitabu hicho?
Jibu: Yote haya hayana msingi. Hakuwapiga vita majini na wala hakukutokea kitu katika mambo hayo. Haya ni batili, uongo na mambo yaliyozuliwa na watu. Abul-´Abbaas Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) ametaja jambo hilo na akasema kwamba ni uongo usiokuwa na msingi wowote na kwamba ni katika uongo uliozuliwa na waongo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/277)
Imechapishwa: 16/07/2021
https://firqatunnajia.com/aliy-radhiya-allaahu-anh-aliwapiga-vita-majini/