Swali 20: Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.”
licha ya kuwa ni kipindi cha katika utume:
يَا أَهْلَ الْكِتَابِ قَدْ جَاءَكُمْ رَسُولُنَا يُبَيِّنُ لَكُمْ عَلَىٰ فَتْرَةٍ مِّنَ الرُّسُلِ
”Enyi Watu wa Kitabu! Kwa hakika amekwishakujieni Mtume Wetu anayekubainishieni katika wakati wa usiokuwa na Mtume.”[1]
Jibu: Huenda ilimfikia hoja kutoka kwa dini ya Ibraahiym.
[1] 05:19
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
- Imechapishwa: 25/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 20: Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.”
licha ya kuwa ni kipindi cha katika utume:
يَا أَهْلَ الْكِتَابِ قَدْ جَاءَكُمْ رَسُولُنَا يُبَيِّنُ لَكُمْ عَلَىٰ فَتْرَةٍ مِّنَ الرُّسُلِ
”Enyi Watu wa Kitabu! Kwa hakika amekwishakujieni Mtume Wetu anayekubainishieni katika wakati wa usiokuwa na Mtume.”[1]
Jibu: Huenda ilimfikia hoja kutoka kwa dini ya Ibraahiym.
[1] 05:19
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
Imechapishwa: 25/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/alifikiwa-na-hoja-katika-dini-ya-ibraahiym/