Swali: Je, Takfiyriyyuun wanahesabika ni Khawaarij?
Jibu: Ndio, haya ndio madhehebu ya Khawaarij. Kuwakufurisha waislamu ndio madhehebu ya Khawaarij. Khawaarij madhehebu yao yamekusanya kati ya kujivua katika utiifu wa mtawala, kuvunja umoja wa waislamu, kuwakufurisha waislamu, kuwaua waislamu na kuoenelea damu yao ni halali. Haya ndio madhehebu ya Khawaarij.
- Muhusika: Imaam Swalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
- Imechapishwa: 14/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)