Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuvaa suruwali nyumbani kwake akiwa na mume wake au wanawake wenzake?
Jibu: Inavyoonekana ni kuwa suruwali ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Atakayejifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1943
- Imechapishwa: 07/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)