Swali: Je, jini linaweza kuteka nyara mtu, tunaomba dalili?
Jibu: Ndio hili lilitokea katika zama za ´Umar na lilitokea kinyume na zama za ´Umar. Ya kuwa huenda wakateka nyara mtu na akabaki nao kiasi Allaah atavyotaka kisha akarejea.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://youtu.be/2fsH6uQhX58
- Imechapishwa: 10/04/2022
Swali: Je, jini linaweza kuteka nyara mtu, tunaomba dalili?
Jibu: Ndio hili lilitokea katika zama za ´Umar na lilitokea kinyume na zama za ´Umar. Ya kuwa huenda wakateka nyara mtu na akabaki nao kiasi Allaah atavyotaka kisha akarejea.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://youtu.be/2fsH6uQhX58
Imechapishwa: 10/04/2022
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-kuhusu-majini-kuteka-nyara-mtu/