Swali: al-Majiyd (Mtukufu na mwingi wa ukarimu) na al-Kaamil (Mkamilifu) ni katika majina ya Allaah na inajuzu kumwita nayo na kumuomba Allaah kwayo?
Jibu: Allaah anasifika kuwa ni al-Majiyd na al-Kaamil. Ama jina ni al-Majiyd. Kuhusu al-Kaamil sio katika majina ya Allaah. Lakini anasifika kuwa ni Mkamilifu na ana ukamilifu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: al-Majiyd (Mtukufu na mwingi wa ukarimu) na al-Kaamil (Mkamilifu) ni katika majina ya Allaah na inajuzu kumwita nayo na kumuomba Allaah kwayo?
Jibu: Allaah anasifika kuwa ni al-Majiyd na al-Kaamil. Ama jina ni al-Majiyd. Kuhusu al-Kaamil sio katika majina ya Allaah. Lakini anasifika kuwa ni Mkamilifu na ana ukamilifu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-majiyd-na-al-kaamil-ni-majina-ya-allaah-2/