Swali: Kwa hiyo mtu anaweza kuchukua maneno ya Shaykh Rabiy´?
Jibu: Ninatumai hakuna neno – Allaah akitaka. Mimi simjui mtu huyu. Sijasoma kitu katika maneno yake ili niweze kujua na maoni yaliyojengeka juu ya ujuzi na elimu.
Swali: Shaykh Rabiy´ anasema kuwa amemnasihi mara nyingi lakini hataki kurudi katika haki. Amekuja na dalili.
Jibu: Tafuteni mtu mwengine. Achaneni naye. Elimu haikufungamana na mtu mmoja tu.
Swali: Je, ni sahihi kwa yule mwenye kumtetea? Katika hali hiyo anakuwa ni mtu gani?
Jibu: Hapana, usimtetee. Usimtetee mtu ambaye hujui anakosa kasoro.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=140436
- Imechapishwa: 18/01/2017
Swali: Je, yachukuliwe maneno ya Shaykh Rabiy´ bin Haadiy ´Umar al-Madkhaliy kutahadharisha kwake Shaykh Yahyaa al-Hajuuriy?
Jibu: Ikiwa anamkosoa mtu huyu sifikirii kuwa Shaykh Rabiy´ atamkosa mtu asiyemjua. Amefanya hivyo kwa sababu tu anamjua.
Swali: Kwa hiyo mtu anaweza kuchukua maneno ya Shaykh Rabiy´?
Jibu: Ninatumai hakuna neno – Allaah akitaka. Mimi simjui mtu huyu. Sijasoma kitu katika maneno yake ili niweze kujua na maoni yaliyojengeka juu ya ujuzi na elimu.
Swali: Shaykh Rabiy´ anasema kuwa amemnasihi mara nyingi lakini hataki kurudi katika haki. Amekuja na dalili.
Jibu: Tafuteni mtu mwengine. Achaneni naye. Elimu haikufungamana na mtu mmoja tu.
Swali: Je, ni sahihi kwa yule mwenye kumtetea? Katika hali hiyo anakuwa ni mtu gani?
Jibu: Hapana, usimtetee. Usimtetee mtu ambaye hujui anakosa kasoro.
Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=140436
Imechapishwa: 18/01/2017
https://firqatunnajia.com/al-luhaydaan-kuhusu-matahadharisho-ya-shaykh-rabiy-kwa-al-hajuuriy/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket