Swali: Tumefikiwa na maneno ya Shaykh Rabiy´ (Hafidhwahu Allaah), Shaykh Muhammad bin Haadiy (Hafidhwahu Allaah) na Shaykh Ahmad Bazmuul (Hafidhwahu Allaah) kuhusu as-Swaaqid al-Gharyaaniy. Je, yachukuliwe maneno yao juu yake na wao ni katika wanachuoni…
Jibu: al-Gharayaaniy ambaye ni Muftiy wa Libya?
Muulizaji: Ndio.
al-Luhaydaan: Kwa kweli sijui chochote juu yake isipokuwa tu naona kuwa amekosea kuwalazimisha kufunga.
Muulizaji: Anasema pia kuwa ni lazima kwa waislamu wote kutoka nje na kuandamana…
al-Luhaydaan: Kwa hali yoyote ile ina maana kwamba anafuata mfumo wa al-Ikhwaan al-Muslimuun.
Muulizaji: Ina maana kwamba yachukuliwe maneno ya Mashaykh hawa? Je, ni waaminifu kwa sababu wapo baadhi ya vijana…
al-Luhaydaan: Nasema kwa kukata kabisa kwamba Shaykh Rabiy´ al-Madkhaliy ni mtu mtakasifu katika dini yake.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://darulhadith.com/al-luhaydan-om-al-gharyani-och-rabi%c2%b4-al-madkhali/
- Imechapishwa: 27/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket