Ndugu, Shaykh na Dr. ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahiym al-Bukhaariy ana elimu nyingi na uhafamu. Ana haki wakati aliporaddi makala mbovu na misingi mibovu ambayo ni ya Ibraahiym bin ´Aamir ar-Ruhayliy na wengineo ambao wanajitangaza na kujinasibisha na Salafiyyah.
Namjua tokea miaka 15 ya nyuma au kitu kama hicho. Uhakika ni kwamba tuna mawasiliano naye zaidi ya miaka 20 nyuma. Yalianza wakati wa vita vya pili vya khaliji bado tuko naye mawasiliano. Akija katika mji wenu ni lazima mstafidi kwake. Ninasema hivo kwa kuwa najua ni elimu pana ilioje alonayo na ufahamu.
Anayemponda ima ni katika wafuasi wa mpotevu, mtu wa Bid´ah na mjinga Yahyaa al-Hajuuriy, wafuasi wa mpotevu mwingine ´Aliy al-Halabiy anafanya kanuni na istilahi za wanachuoni kuwa siasa au wafuasi wa Dr. Ibraahiym ar-Ruhayliy – Allaah Atusamehe sisi na yeye.
- Muhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=134483
- Imechapishwa: 18/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)