Swali: Je, inafaa nikiwa na maji na nikataka kuyasomea? Inafaa vilevile kutenga mtu zaidi ya mmoja wakayasomea?
Jibu: Kipingamizi kiko wapi? Kusoma ndani ya maji ni jambo limepokelewa katika Sunnah; mtu akayasomea maji na akapewa nayo yule mgonjwa. Ni jambo limepokelewa katika Sunnah. Kusoma ndani ya maji kwa sababu ya matabano hakuna neno. Inajuzu wewe na wale waliohudhuria wakasoma ndani ya maji. Hii ni aina moja wapo ya kujitibu kwa matabano.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
- Imechapishwa: 06/04/2019
Swali: Je, inafaa nikiwa na maji na nikataka kuyasomea? Inafaa vilevile kutenga mtu zaidi ya mmoja wakayasomea?
Jibu: Kipingamizi kiko wapi? Kusoma ndani ya maji ni jambo limepokelewa katika Sunnah; mtu akayasomea maji na akapewa nayo yule mgonjwa. Ni jambo limepokelewa katika Sunnah. Kusoma ndani ya maji kwa sababu ya matabano hakuna neno. Inajuzu wewe na wale waliohudhuria wakasoma ndani ya maji. Hii ni aina moja wapo ya kujitibu kwa matabano.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
Imechapishwa: 06/04/2019
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-watu-wengi-wakakusanyika-na-kusoma-ndani-ya-maji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)