Swali: Kuna mwanamke amechelewesha Swalah ya ´Aswr mpaka wakati wa mwisho na akajiwa na hedhi kabla ya kuswali. Je, alipe Swalah baada ya kutwaharika?
Jibu: Hapana. Kwa kuwa yumo katika wakati mpana. Anapata kuchelewesha maadamu bado yuko ndani ya wakati. Hana kulipa ambako ni wajibu. Lakini akilipa kwa njia ya ubora, inakuwa ni bora zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mwanamke amechelewesha Swalah ya ´Aswr mpaka wakati wa mwisho na akajiwa na hedhi kabla ya kuswali. Je, alipe Swalah baada ya kutwaharika?
Jibu: Hapana. Kwa kuwa yumo katika wakati mpana. Anapata kuchelewesha maadamu bado yuko ndani ya wakati. Hana kulipa ambako ni wajibu. Lakini akilipa kwa njia ya ubora, inakuwa ni bora zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-mwanamke-kulipa-swalah-aliyochelewesha-kisha-akapatwa-na-hedhi/